و تو نمیتوانی کوردلان را از گمراهیشان [بازگردانی و] هدایت کنی. تو [میتوانی پیام حق را تنها] به گوش کسانی برسانی که به آیات ما ایمان دارند و [در برابر حق،] تسلیمند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wewe, ewe Mtume, hukuwa ni mwenye kuongoa kutoka kwenye upotevu yule ambaye Mwenyezi Mungu Amemfanya kipofu asiuone uongofu na unyofu. Na haimkini kwako wewe umsikilizishe isipokuwa yule anayeziamini aya zetu, basi hao ni wenye kusalimu amri, watiifu na wenye kuyakubali yale ninayowalingania wao.