و به خاطر ستمی که مرتکب شدند، فرمان [عذاب] بر آنان واقع میگردد و هیچ سخنی [در دفاع از خود] نمیگویند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo lithibiti juu yao neno la adhabu kwa sababu ya udhalimu wao na ukanushaji wao, na watakuwa hawatamki neno lenye hoja ya wao kujitetea nafsi zao ili kujiepushia adhabu kali iliyowashukia.