[منافقان] بین این دو [گروه مؤمنان و کافران] متحیّر و سرگردانند؛ نه با اینانند و نه با آنان؛ و [ای پیامبر،] هر کس که الله او را گمراه کند، راهی برای [هدایتِ] او نخواهی یافت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hali ya hawa wanafiki ni kutokuwa na msimamo, kuchangayikiwa na kubabaika, hawathibiti kwenye hali moja, hawako pamoja na Waumini wala hawako pamoja na makafiri. Na yoyote ambaye Mwenyezi Mungu Ameupotoa moyo wake usimuamini na usishikamane na uongofu Wake, huyo hutampatia njia ya kufikia uongofu na yakini.