پس به سزاى ستمى كه از یهود سر زد و به سبب اینکه [مردم را] بسیار از راه الله بازداشتند، ما چیزهای پاکیزهای را که برایشان حلال بود، بر آنان حرام کردیم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kwa sababu ya dhuluma ya Mayahudi kwa madhambi makubwa waliyoyafanya, Mwenyezi Mungu Aliwaharamishia vyakula vizuri vilivyokuwa halali kwao, na pia kwa sababu ya kuzizuia nafsi zao na kuwazuia wengine wao wasiifuate dini ya Mwenyezi Mungu iliyo ya sawa.