و با زنانی که پدرانتان [با آنها] ازدواج کردهاند، [پس از مرگ پدر] ازدواج نکنید؛ مگر آنچه در گذشته [از این نوع ازدواج، پیش از اعلام این حکم] رخ داده است؛ [چرا که] بیتردید، این کار، عملی بسیار زشت و مبغوض [الله] و راهی نادرست است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wala msiwaoe wanawake walioolewa na baba zenu, isipokuwa yaliyopita mliyoyafanya katika zama za jahiliyyah (kabla ya Uislamu). Hayo hamtalipwa kwayo. Hakika ndoa ya watoto kuwaoa waliokuwa wake wa baba zao ni jambo baya lenye upeo wa ubaya, na ni jambo lenye kuchukiza ambalo Mwenyezi Mungu Anamchukia mwenye kulifanya. Na ubaya wa njia na mwenendo ni huo mliokuwa mkiufanya zama za ujinga wenu( kabla ya Uislamu).