و مهریههای زنان را به عنوان هدیه [و فریضهای الهی] با خوشدلی به آنان بدهید. پس اگر آنان چیزی از آن را با رضایت خاطر به شما بخشیدند، آن را نوشین و گوارا بخورید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wapeni wanawake, enyi waume, mahari yao, kipewa kinacholazimu na faradhi iliyopasa, kwa roho yenu safi. Na iwapo zitakuwa safi nafsi zao kwenu na kuwatunuku chochote katika mahari, basi kichukueni na mkitumie mnavyotaka, kwani hicho ni halali iliyo nzuri.