[ای پیامبر،] آیا ندیدی کسانی را که خویشتن را پاک میشمارند [و خودستایی میکنند؟ چنین نیست؛] بلکه الله هر کس را بخواهد پاک میگردانَد، و به آنان به اندازۀ ذرهای ناچیز [حتی به اندازۀ نخ روی هستۀ خرما] ستم نمیشود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani hukujua, ewe Mtume, hali ya wale wanaojisifu wenyewe na kuyasifu matendo yao kuwa yametakasika na kuwa yako mbali na uovu? Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake Ndiye Ambaye Anamsifu Amtakaye miongoni mwa waja Wake, kwa kuwa Yeye Ndiye Ajuwaye ukweli wa matendo yao. Na wala hawatapunguziwa chochote katika matendo yao, hata kama ni kadiri ya uzi ulio kwenye mwanya wa koko ya tende.