و [ای مسلمانان،] بیتردید، از [میان] شما کسی هست که [به خاطر ترس، از شرکت در میدان جهاد] سستی میورزد و اگر مصیبتی به شما برسد میگوید: «الله به من لطف کرد که همراه آنان [در جنگ] حاضر نبودم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika miongoni mwenu kuna watu wenye kujichelewesha kutoka kuenda kupambana na maadui kwa kuona uzito kufanya hivyo, na kufanya bidii kuwavunja moyo wengine kwa kusudi. Itokeapo mkapatikana kuuawa na kushindwa, huwa wakisema kwa furaha, «Mwenyezi Mungu Ametulinda kwa kutokuwako na wale waliopatikana na mambo ambayo nafsi zetu zinayachukia.» Na hilo la kutokuwa na nyinyi huwa likiwafurahisha.