و هر گاه خویشاوندان [غیر وارث] و یتیمان و مستمندان در تقسیم [میراث] حاضر شدند، [پیش از تقسیم، چیزی] از آن [اموال را از باب استحباب] به آنان بدهید و به شایستگی با آنان سخن بگویید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watakapohudhuria, kikao chakugawanywa urithi, jamaa wa maiti wa karibu wasiokuwa na haki ya kurithi au waliofiwa na baba zao nao ni wadogo au wasiokuwa na mali, basi wapeni chochote katika mali hayo, kwa njia ya kuwapumbaza, kabla mali hayajagawanywa kwa wenyewe. Na waambieni neno zuri lisilokuwa chafu wala baya.