مگر کسانی که بعد از آن [تهمت،] توبه کنند و [رفتار گذشتۀ خود را] اصلاح [و جبران] نمایند؛ بیتردید، الله آمرزندۀ مهربان است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lakini mwenye kutubia, akajuta, akarudi nyuma katika tuhuma yake na akatengeneza matendo yake, kwa kweli Mwenyezi Mungu Atamsamehe dhambi zake, Atamuonea huruma na Ataikubali toba yake.