[ای پیامبر،] هرگز مپندار کسانی که کفر ورزیدند، ناتوانکننده[ی الله] در زمینند [و میتوانند از مجازات الهی بگریزند]. جایگاه اینان آتش است و چه بد بازگشتگاهی است!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Msidhani tena msidhani kwamba wale waliokufuru wanamshinda Mwenyezi Mungu katika ardhi, kwani Yeye ni Muweza wa kuwaangamiza, na marejeo yao, huko Akhera ni Motoni. Na ni mabaya sana marejeo haya na mwisho huu. Maneno haya ni maelekezo kwa ummah wote, ingawa anayeambiwa hapa ni Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.