[ای مردم،] هر یک از شما که سخن [خود] را پنهان کند یا آن را آشكارا بیان نماید و هر کس در [تاریکیِ] شب پنهان گردد یا در روز [به دنبال انجام کارهایش] برود، [در علم الهی] یکسان است [و او همه را میداند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Analingana, katika ujuzi Wake Aliyetukuka, yule anayesirisha maneno, katika nyinyi, na anayedhihirisha. Na analingana Kwake yule anayefanya matendo yake kwa siri ndani ya giza la usiku na yule mwenye kuyafanya waziwazi kwenye mwangaza wa mchana.