[و به آنان میگویند:] «سلام بر شما به [پاداشِ] آنچه [بر ایمانتان] شکیبایی کردهاید. پس چه نیکوست فرجامِ آن سرای!»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Malaika watawaambia, «Amani iwashukie, yakiwa ni maamkizi yenu peke yenu, na msalimike na kila baya kwa uvumilivu wenu katika kumtii Mwenyezi Mungu. Neema ya nyumba ya mwisho ni Pepo.»