و کسانی که کفر ورزیدند میگویند: «چرا نشانهها [و معجزاتی همانند موسی و عیسی] از پروردگارش بر او نازل نشده است؟» [ای پیامبر،] بیتردید، تو فقط بیمدهندهای؛ و هر قومی، [پیامبرِ] هدایتگری دارد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na makafiri wa Makkah wanasema, «Basi si ajiwe na miujiza inayoonekana kama fimbo ya Mūsā na ngamia wa Ṣāliḥ.» Na hilo haliko kwenye mkono wako, ewe Mtume; hukuwa wewe isipokuwa ni mwenye kuwafikishia na ni mwenye kuwatisha adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na kila ummah una mjumbe wa kuwaongoza kwenye njia ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.