آنگاه سرانجامِ کسانی که بدی کرده بودند، بسیار بدتر شد؛ چرا که آیات الله را دروغ میانگاشتند و آنها را به تمسخر میگرفتند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kisha ulikuwa mwisho wa waovu, miongoni mwa madhalimu na makafiri, ni mbaya zaidi na muovu zaidi, kwa kumkanusha kwao Mwenyezi Mungu na kuzifanyia shere aya Zake ambazo Aliziteremsha kwa Mitume Wake.