[در آن روز،] مشرکان از بین معبودان خود [که عبادت میکردند] هیچ شفاعتگری نخواهند داشت و نسبت به معبودانشان [که آنها را همتای الله قرار داده بودند] کفر میورزند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine.