او تعالی [موجود] زنده را از [مادّۀ] بیجان [= نطفه] پدید میآورد و [مادّۀ] بیجان را از [موجود] زنده خارج میسازد؛ و زمین را ـ پس از خشکی و خزانش ـ زنده میسازد؛ و [شما نیز روز قیامت،] اینچنین برانگیخته میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Anakitoa kilicho hai kutokana na kilichokufa, kama vile binadamu kutokana na tone la manii na ndege kutokana na yai, na Anakitoa kilichokufa kutokana na kilicho hai, kama vile tone la manii kutokana na binadamu na yai kutokana na ndege. Na Anahuisha ardhi kwa mimea baada ya kukauka na kuwa kavu. Na kwa namna hii ya kuhuisha mtatoka , enyi watu, makaburini mwenu mkiwa hai ili muhesabiwe na mulipwe.