و روزی که قیامت برپا گردد، گناهکاران سوگند یاد میکنند که جز ساعتی [در گور] درنگ نکردهاند. آنان [در دنیا نیز] این گونه به انحراف كشیده مىشدند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na siku kitakapokuja Kiyama na Atakapo Mwenyezi Mungu kuwafufua viumbe kutoka makaburini mwao, wataapa washirikina kwamba hawakukaa duniani isipokuwa kipindi kifupi cha wakati. Watasema urongo katika kiapo chao kama walivyokuwa wakisema urongo duniani na wakiikataa haki ambayo Mitume walikuja nayo.