[ای پیامبر، بر آزار و تکذیبِ مشرکان] شکیبا باش [که] قطعاً وعدۀ [یاریِ] الله، حق است؛ و مبادا کسانی که [به رستاخیز] باور ندارند، تو را به [بیصبری و] سبكسرى وادار کنند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi vumilia, ewe Mtume, kwa yale yanayokupata ya makero ya watu wako kwako na kukukanusha kwao, kwani ahadi ya Mwenyezi Mungu kwako ya ushindi, uthabiti na malipo mema ni kweli isiyo na shaka. Na wasikubabaishe wakakuweka kando na Dini yako wale wasiokuwa na yakini ya Agizo (la Siku ya Kiyama) na wasioamini kufufuliwa na malipo.