اگر میخواستیم، به هر کسی [توفیق و] هدایتش را ارزانی میداشتیم؛ ليكن اين سخن از جانب من حتمى شده است كه: «دوزخ را از همۀ جنیان و آدمیان [کافر] پر خواهم کرد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau tungalitaka tungaliwapa washirikina hawa uongofu wao na Angaliwaonyesha njia ya Imani, lakini limethibiti neno linalotoka kwangu na limepasa kwamba nitaujaza, moto wa jahanamu, watu wote wa aina mbili, ya kijini na kibanadamu, wenye kukufuru na kuasi, kwa kuwa walichagua upotevu na kuacha uungofu.