اما کسانی که ایمان آوردهاند و کارهای شایسته انجام دادهاند، برایشان باغها[ی بهشتی] است؛ [این به عنوان] محلّ پذیرایی از [آنها] است به [پاس] آنچه میکردند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ama wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na wakayafanya yale waliyoamrishwa kwayo, basi malipo yao ni mabustani ya Pepo watashukia huko na watakaa kwenye starehe zake wakiandaliwa, yakiwa malipo yao kwa yale waliokuwa wakiyafanya ulimwenguni ya utiifu Kwake.