[کافران] میگویند: «[محمد] آن را به دروغ [به پروردگارش] نسبت میدهد». [هرگز چنین نیست؛] بلکه آن [آیات، سخنِ] حقی از جانب پروردگار توست تا به قومی که پیش از تو [هیچ] بیمدهندهای برایشان نیامده است، هشدار دهی؛ باشد که هدایت شوند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani je, wanasema washirikina kuwa Muhammad Ameizua Qur’ani? Wamesema urongo, bali hiyo Qur’ani ndiyo ukweli uliothibiti ulioteremshwa kwako, ewe Mtume, kutoka kwa Mola wako, ili uwaonye nayo watu ambao hawakujiwa na muonyaji kabla yako wewe, huenda wao wakaongoka: wakaijua haki, wakaiamini, wakaitanguliza na wakakuamini wewe.