آنان گفتند: «ای نوح، اگر [از دعوتت] دست برنداری، قطعاً سنگسار میشوی».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo watu wa Nūḥ waliacha kubishana na wakaamua kutoa vitisho, hivyo basi wakamuambia, «Usiporudi nyuma, ewe Nūḥ, ukaacha huo ulinganizi wako, utakuwa ni miongoni mwa wenye kuuawa kwa kupigwa mawe.»