و دلم [از تکذیب و کفرشان] تنگ میگردد و زبانم [به قدر کافی گویا و] روان نیست؛ پس [جبرئیل را] به سوی هارون بفرست [تا مرا یاری کند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na moyo wangu ukaingia kero kwa kunikanusha, na ulimi wangu usiwe na ufasaha wa kulingania. Basi mtume Jibrili aende na wahyi kwa ndugu yangu Hārūn, ili anisaidie na aniamini kwa ninayoyasema, na awafafanulie kile ninachowaambia, kwani yeye ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi.