آنان گفتند: «ای لوط، اگر [از این امر و نهی] دست بر نداری، قطعاً [از شهر] اخراج میشوی».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watu wa Lūṭ wakasema, «Usipoacha, ewe Lūṭ, kutukataza kuwajia wanaume na kukichafua kitendo hicho (cha kuwajia wanaume), utakuwa ni miongoni mwa wenye kufukuzwa kutoka miji yetu.»