گویی میخواهی از [اندوهِ] اینکه [مشرکان] ایمان نمیآورند، خود را هلاک کنی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Huenda wewe, ewe Mtume, kwa kuwa una hamu sana ya kutaka wao waongoke, ukajiangamiza mwenyewe kwa kuwa wao hawakukuamini na hawakufuata kimatendo uongofu wako. Basi usifanye hivyo.