به راستی آنان [دعوت پیامبران و عذاب قیامت را] تکذیب کردند؛ به زودی اخبار آنچه مسخره میکردند به آنان خواهد رسید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwa hakika washaikanusha Qur’ani na washaifanyia shere, basi zitawajia wao habari za jambo ambalo walikuwa wakilifanyia shere na dharau, na itawashukia wao adhabu ikiwa ni malipo ya kumuasi Mola wao.