و الله هرگز بر آن نیست كه گروهی را پس از آنکه هدایتشان کرده است گمراه بگذارد؛ مگر آنکه چیزی را که باید [از آن] پرهیز کنند برایشان روشن کرده باشد [و آنان به آن عمل نکرده باشند]. بیتردید، الله به هر چیزی داناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Mwenyezi mungu Hakuwa ni Mwenye kuwapoteza watu baada ya kuwapa neema uongofu na taufiki, mpaka awaelezee waziwazi yale ambayo yatawapelekea kumcha Yeye na yale wanayoyahitajia ya misingi ya Dini na tagaa zake. Hakika Mwenyezi Mungu, kwa kila jambo, ni Mjuzi; Amewafundisha nyinyi yale ambayo hamkuwa mkiyajua, amewaelezea waziwazi yale ambayo mtanufaika nayo na Amewasimamishia hoja kwa kuwafikishia ujumbe Wake.