عذر نیاورید. به راستی که شما پس از ایمانتان کافر شدهاید. اگر گروهی از شما را [به خاطر توبهشان] ببخشیم، گروهی دیگر را [به سببِ سرکشی و ترک انفاق] عذاب خواهیم کرد؛ چرا که بیتردید، آنان تبهکار بودند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Msitoe sababu, enyi mkusanyiko wa wanafiki! Kwani hakuna faida ya kutoa udhuru kwenu. Hakika mumekufuru kwa maneno haya mliyoyafanyia shere. Iwapo tutalisamehe kundi miongoni mwenu lililotaka msamaha na likatubia kidhati, tutaliadhibu kundi la watu wengine kwa sababu ya uhalifu wao wa kusema maneno haya maovu ya makosa.