بعضی از آنان با الله [عهد و] پیمان بستند که: «اگر [الله] از فضل خود [نصیبی] به ما دهد، قطعاً صدقه [و زکات] خواهیم داد و از نیکوکاران خواهیم بود».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na miongoni mwa mafukara wa wanafiki, kuna wanaojipa ahadi ya mkazo wenyewe kwamba lau Mwenyezi Mungu Atampa mali, atayatolea sadaka, atafanya vile watu wema wanafanya katika mali yao na atafuata njia ya wema.