پس به سزاى آنكه با الله خُلفِ وعده كردند و به خاطر آن كه دروغ مىگفتند، [الله نیز] تا روزى كه او را [در قیامت] ملاقات میکنند، در دلهایشان داغ [و ننگِ] نفاق نهاد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ikawa malipo ya mambo waliyoyafanya na mwisho wao ni kwamba aliwaongezea unafiki juu ya unafiki wao, hawataweza kujisafisha nao mpaka Siku ya kuhesabiwa. Hayo ni kwa sababu ya kwenda kwao kinyume na ahadi walioitoa juu ya nafsi zao na kwa sababu ya unafiki wao na urongo wao.