و [ای پیامبر، افزونیِ] اموال و فرزندانشان تو را شگفتزده نکند. به راستی جز این نیست که الله میخواهد به این [وسیله] آنان را در دنیا عذاب کند و در حالی که کافرند جانشان برآید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na zisikushangaze mali za wanafiki hawa na watoto wao. Mwenyezi Mungu Anataka kuwaadhibu wao kwa hizo ulimwenguni, kwa kupambana kwao na shida katika kuzipata na kwa kufa kwao katika hali ya kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.