ستمکاران [در دنیا نیز به دست مؤمنان] به عذاب دیگرى گرفتار خواهند شد؛ ولى بیشتر آنان نمىدانند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika madhalimu hawa watakuta adhabu duniani, kabla ya adhabu ya Siku ya Kiyama, ya kuuawa, kukamatwa mateka, adhabu ya kaburini na nyinginezo. Lakini wengi wa watu hawajui hilo.