[ای پیامبر،] در برابر حکم پروردگارت شکیبا باش؛ زیرا تو تحت نظر و حفاظت مایی؛ و هنگامی که [از خواب یا به قصد عبادت] برمیخیزی، پروردگارت را به پاکی ستایش کن.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na uivumilie, ewe Mtume, hukumu ya Mola wako na amri Yake juu ujumbe Aliyokubebesha na juu ya makero yanayokupata kutoka kwa watu wako, hakika wewe uko kwenye maangalizi yetu, hifadhi na utunzi. Na umtakase Mola Wako kwa kumsifu unaposimama kuswali na unapoinuka kutoka usingizini.