و تجمل [و زینتهای] فراوان [برایشان فراهم میکردیم] و تمام اینها بهرۀ [ناچیز] زندگی دنیاست؛ و آخرت نزد پروردگارت برای پرهیزگاران است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na tukawafanya wawe na dhahabu. Na vyote hivyo havikuwa isipokuwa ni sterehe za maisha ya kilimwengu, nazo ni starehe chache zenye kuondoka. Na starehe za Akhera zimehifadhiwa kwa Mola wako kwa wale wachamungu na si kwa wengine.