او [= فرعون] قوم خود را به [بیخردی و] سبُكسَرى كشاند و همگی مُطیع او شدند. حقا که آنان [نسبت به اوامر الهی] نافرمان بودند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Fir’awn akazichezea akili za watu wake, akawaita kwenye upotevu na wao wakamtii na wakamkanusha Mūsā. Kwa hakika, wao walikuwa ni watu waliotoka kwenye utiifu wa Mwenyezi Mugu na njia yake ya sawa.