بشارت براى كسانى است كه از عبادت طاغوت [= معبودان غیر الله] اجتناب ورزیدند و [توبهکنان] به درگاه الهی بازگشتند؛ پس [ای پیامبر،] [بهشت را] به بندگانم بشارت بده.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wale waliojiepusha kumtii Shetani na kuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu na wakatubia kwa Mwenyezi Mungu kwa kumuabudu na kumtakasia Dini, basi hao wana bishara njema duniani ya kutajwa vyema na kuafikiwa na Mwenyezi Mungu, na bishara njema huko Akhera ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu na starehe za daima Peponi. Basi wape habari njema, ewe Nabii, waja wangu