الله [طعم] رسوایی و خواری را در زندگی دنیا به آنان چشاند؛ و مسلّماً عذاب آخرت بزرگتر [و سختتر] است. اگر مشرکان میدانستند [که رفتارشان چه پیامدی دارد، عبرت میگرفتند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi Mwenyezi Mungu Akawaonjesha ummah waliokanusha adhabu na unyonge duniani, na Akawaandalia adhabu kali zaidi na ngumu zaidi huko Akhera. Lau hawa washirikina wangalijua, kuwa kile kilichowashukia ni kwa sababu ya ukafiri wao na ukanushaji wao, wangaliwaidhika.