آیا مشرکان غیر از الله، شفیعانی [برای خود از میان معبودان باطلشان] انتخاب کردهاند؟ [ای پیامبر، به آنان] بگو: «حتی اگر آنها مالک چیزی نباشند و [چیزی را] درک نکنند [باز هم آنها را به شفاعت میطلبید]؟»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Au kwani hawa wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu wamewachukua badala Yake Yeye waungu wao wanaowaabudu wakawafanya ni waombezi wakuwaombea kwa Mwenyezi Mungu katika haja zao? Waambie, «Je mnawafanya ni waombezi kama mnavyodai, ingawa waungu hao hawamiliki chochote na hawafahamu kamwe kuwa nyinyi mnawaabudu?