و [عقوبت] دستاورد زشت آنان دامنگیرشان شد. و این ستمکاران [مشرک] نیز به عقوبت دستاوردشان گرفتار خواهند شد و هرگز نمیتوانند [الله متعال را] ناتوان کنند [و از عذاب او بگریزند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Yakawapata wale waliyosema kauli hii, miongoni mwa ummah waliopita, mateso ya matendo mabaya waliyoyachuma, hivyo basi wakaharakishiwa laana katika maisha ya duniani. Na wale waliojidhulumu nafsi zao katika watu wako, ewe Mtume, na wakasema kauli hii, yatawapata mateso ya yale mabaya waliyoyachuma kama yaliyowapata waliokuwa kabla yao, na hawakuwa wao ni wenye kumponyoka Mwenyezi Mungu wala kumshinda.