یا هنگامی که عذاب را میبیند، نگوید: «ای کاش بازگشتی [به دنیا] داشتم تا در زمرۀ نیکوکاران قرار میگرفتم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Au ikasema, itakapo kuiona adhabu ya Mwenyezi Mungu imeizunguka Siku ya Kiyama, ‘Natamani nipatiwe nafasi ya kurudi kwenye maisha ya kilimwengu nikawa huko ni miongoni mwa wenye kufanya wema kwa kumtii Mola wao na kufanya matendo yaliyoamrishwa na Mitume.’»