و اگر [مشرکان] تو را دروغگو میانگارند، [عجیب نیست؛ چرا که] بیتردید، کسانی که پیش از آنان بودند [نیز] پیامبرانشان را که با دلایل روشن و کتابهای آسمانی و کتاب روشنگر به سراغشان آمدند دروغگو انگاشتند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wanapokukanusha washirikina hawa , basi wale waliopita kabla yao waliwakanusha Mitume wao ambao waliwajia na miujiza iliyo wazi yenye kutolea ushahidi unabii wao, na waliwajia na Vitabu, ambavyo ndani yake zimekusanywa hukumu nyingi, na (waliwajia na) Kitabu chenye kutoa mwangaza chenye kubainisha njia ya kheri na shari.