[ای پیامبر،] اگر آنان [از پذیرشِ اسلام] روی گرداندند، بگو: «من شما را از صاعقهاى مانند صاعقه [هلاکت قوم] عاد و ثمود هشدار مىدهم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Basi wakipuuza wakanushaji hawa baada ya kubainishiwa sifa za Qur’ani zinazotajika vyema, na sifa za Mungu Mkubwa, waambie, «Kwa kweli, ninawaonya nyinyi adhabu yenye kuwamaliza mfano wa adhabu (iliyowashukia watu wa kabila la) 'Ād na Thmud walipomkanusha Mola wao na kuwaasi Mitume wao.»