و اما قوم ثمود را نیز هدایت كردیم؛ ولى آنان كوردلى را به هدایت ترجیح دادند و به [سزاى] دستاوردشان، صاعقۀ عذابِ خفتبار، آنان را فراگرفت؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na ama hao Thamūd, watu wa Ṣāliḥ, kwa hakika tuliwabainishia njia ya uongofu na usawa, wakafadhilisha upofu juu ya uongofu, kikawaangamiza wao kimondo cha adhabu yenye kutweza kwa sababu ya dhambi waliokuwa wakizitenda kwa kumkufuru kwao Mwenyezi Mungu na kuwakanusha Mitume Wake.