آنچه در گذشته [تكیهگاه خود] مىخواندند، از نظرشان ناپدید میشود و درمىیابند كه هیچ راه گریزی [از آتش عذاب الهی] نخواهند داشت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakawapotea hao washirikina wale washirika wao ambao walikuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, wasiwanufaishe na wakajuwa kwa yakini kuwa hakuna makimbilio yoyote ya kuwaepusha wao na adhabu ya Mwenyezi Mungu.