[ای پیامبر، به کافران] بگو: «به من بگویید اگر [قرآن] از جانب الله باشد و شما به آن کافر شوید، کیست گمراهتر از کسی كه [با وجود آشکار بودنِ حق،] در ستیزی بىپایان [با آن] قرار دارد؟»
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, uwaambie hawa wakanushaji, «Hebu nipeni habari, iwapo hii Qur’ani inatoka kwa Mwenyezi Mungu kisha nyinyi mkaikataa na mkaikanusha, basi hakuna mpotevu zaidi kuliko nyinyi, kwa kuwa nyinyi mko kinyume kabisa na haki kwa kuikataa kwenu Qur’ani na kuikanusha.»