در مورد روز قیامت [که بسیار نزدیک است] به آنان هشدار بده؛ آنگاه كه جانها [از شدت وحشت] به گلوگاه مىرسد، در حالى كه سرشار از اندوه شدهاند. [در آن روز،] ستمگران نه دوستى مهربان دارند و نه شفیعی كه سخنش پذیرفته شود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na uwaonye watu, ewe Mtume, na Siku ya Kiyama iliyo karibu, ingawa wao waiona kuwa iko mbali, pindi nyoyo za waja, kwa kuogopa mateso ya Mwenyezi Mungu, zitakapopanda juu vifuani mwao na kushikana na koo zao, na hali wao wamejawa na hamu na huzuni. Madhalimu hawatakuwa na jamaa wa karibu wala rafiki wala muombezi wa kuwaombea kwa Mola wao akawa ni mwenye kukubaliwa.