آن مرد مؤمن گفت: «ای قوم من، میترسم عذابی همچون عذاب اقوام پیشین [که از پیامبرانشان سرپیچی کردند] بر سرتان بیاید؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na akasema yule Aliyeamini katika jamaa za Fir’awn kumwambia Fir’awn na viongozi wa mamlaka yake kwa kuwapa ushauri na kuwaonya, «Mimi ninawaogopea mkimuua Mūsā mfano wa siku ya makundi yaliyojikusanya dhidi ya manabii wao.