[همان] روزى كه همگی [از ترس] به عقب بازمىگردید و در برابر [مجازاتِ] الله، هیچ محافظى ندارید؛ و هر کس که الله او را گمراه كند، هیچ هدایتگری نخواهد داشت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Siku ambayo mtazunguka muende hali ya kukimbia, hamtakuwa na mwenye kuwahami wala kuwanusuru. Na yoyote yule ambaye Mwenyezi Mungu Atamuachilia Asimuafikie kuufikia uongofu Wake, basi yeye hatakuwa na mtu mwenye kumuongoza kwenye haki na usawa.