مرا دعوت میكنید كه به الله کفر بورزم و چیزى را با او شریک گردانم كه هیچ اطلاعى از آن ندارم؛ در حالى كه من شما را به سوى [پروردگار] شکستناپذیر و آمرزگار فرامىخوانم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Mnanilingania mimi nimkanushe Mwenyezi Mungu na nimshirikishe Yeye na kitu amabacho sina ujuzi nacho kuwa kinastahiki kuabudiwa badala Yake- na hili ni miongoni madhambi makubwa zaidi na maovu zaidi- Na mimi ninawalingania kwenye njia yenye kupelekea kwa Mwenyezi Mungu Aliye Mshindi katika kutesa Kwake, Mwingi wa msamaha kwa aliyerudia Kwake kwa kutubia baada ya kumuasi.